SESEME TECHNOLOGY

VITU VIZURI VINAVYOVUTIA VIWEKE KWENYE PICHA

TANZANIA INA MANDHALI MAZURI SANA YAWEKE KWENYE PICHA.

JE UNAPICHA NZURI UNATAKA WATU WAZIONE ?

Picha zoote zenye maadili kwa nchi yetu,za michezo,za wanyama,za mazingira ,za wanamichezo,na ujumbe tofauti

JE UMEVUTIWA NA UNACHOKIONA NA UNAHITAJI WENGINE WAKIONEE ?

Weka kwenye picha tufaidike kwa Pamojaa

ULICHOVUTIWA NACHO,Weka kwenye Picha

Je Umependeza na unataka kujumuika na wenzako ?Weka kwenye Picha

PICHA ZETU,MAZINGIRA YETU

Uzuri wa mandhari yetu,ni ya kwetu sote,weka kwenye picha tujumuike kwa pamoja

Thursday, September 27, 2018

YANGA YETU,NGUVU MOJA

Yanga Hii Sogea UFUNGWE.
Katika picha Amisi Tambwe na MAKAMBO
Amisi Tambwe na Makambovic

IBRAHIM AJIBU,IBRACADABRA

YANGA YETU
Fundi wa Assist na Magoli ya Mbali namba Kumi(10)Mgongoni
IBRAHIM AJIBU,IBRACADABRA

Feisal ,FEI TOTO

YANGA YETU(YOUNG AFRICA)
,Fundi aliyetua Jangwani ,Anaufanya mpira Uoneka mchezo rahisi,kwa jinsi anavyocheza
Feisal/Fei TOTO

UJUMBE WA LEO KATIKA PICHA

Si kila ulitengenezalo leo wewe basi utalitumia mwenyewe,Mengine unaweza fanya lakini faida wakapata wengine
Ujumbe wa Picha ,Catterpilla

Tuesday, March 20, 2018

CAMERA MAN KATIKA POSITION TOFAUTI

CAMERA MAN POSITION IMAGE,JPEG AND PNG


CAMERA KATIKA STAND YAKE

CAMERA MIKONONI KWA UMAKINI MKUBWA

REAL CAMERA NA MUONEKANO WAKE

CAMERA KUBWA  KATIKA STAND YAKE

CAMERA MPYA KATIKA MUONEKANO HALISI

VIDEO SHOOTING POSITION

BEST POSITION FOR MOVIE SHOOTING

IMAGE FROM REAL CAMERA BEFORE 

CAMERA MAN IMAGE 23

CAMERA MAN IMAGE

RAIS MSTAAFU WA AWAMU YA TATU,BENJAMIN WILLIAM MKAPA

Picha za  RAISI WA AWAMU YA TATU WA TANZANIA,RAIS WILLIAM BENJAMIN MKAPA

Katika maeneno Tofauti

Mzee Mkapa akiwa na Rais John Magufuli wakijadili Jambo

Mzee Mkapa akiwa katika muonekano wa Ujana

Mzee Mkapa akihojiwa mawili matatu na Waandishi wa Habari
Mzee Mkapa katika Picha Kubwa 


Mzee Mkapa akiwa na Maraisi wengine wa staafu wa Tanzania,na Rais John Magufuli

Mzee Mkapa akiwa na Marais wengine wastaafu na Raila Odinga kiongozi wa Upinzani Kenya

Mzee Mkapa akiwa na furaha katika moja ya vikao vya CCM